Utaratibu wa kumwagilia maji kwa teknologia ya AWD
| dc.contributor.author | Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) | |
| dc.date.accessioned | 2026-09-07T09:03:43Z | |
| dc.date.available | 2026-09-07T09:03:43Z | |
| dc.date.issued | 2023 | |
| dc.description | Kipeperushi | |
| dc.description.abstract | Usimamizi wa maji ni mojawapo ya shughuli muhimu katika kilimo cha mpunga Inashauriwa kumwagilia kwa mfumo wa kuingiza na kusubili maji yakauke shambani kabla ya kumwagilia tena (AWD). Kwa kufanya hivyo husaidia kupunguza maji kati ya asilimia 40-50 kuanzia hatua ya kupanda hadi kuvuna. Mbinu hii, husaidia mzunguko wa hewa ardhini katika mashamba ya mpunga na pia inasaidia mizizi kukuwa vizuri. | |
| dc.identifier.uri | https://www.mkulima.sua.ac.tz/handle/123456789/1034 | |
| dc.language.iso | other | |
| dc.publisher | Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) | |
| dc.subject | Maji | |
| dc.subject | Umwagiliaji | |
| dc.title | Utaratibu wa kumwagilia maji kwa teknologia ya AWD | |
| dc.type | Other |
Files
Original bundle
1 - 1 of 1
Loading...
- Name:
- Utaratibu wa kumwagilia maji kwa teknolojia ya AWD.pdf
- Size:
- 1.46 MB
- Format:
- Adobe Portable Document Format
License bundle
1 - 1 of 1
No Thumbnail Available
- Name:
- license.txt
- Size:
- 1.71 KB
- Format:
- Item-specific license agreed upon to submission
- Description: