Kilimo cha Mkonge Tanzania -

Loading...
Thumbnail Image

Date

2018-01

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Kituo cha Utafiti Mlingano - ARI

Abstract

Zao la mkonge liliingizwa nchini mwaka 1892 na mtaalamu wa kijerumani Dr. Richard Hindorff ambaye alikuwa ni mtafiti wa mimea na udongo. Mtaalamu huyo alichukua miche 1000 kutoka pwani ya Mexico kwenye jimbo la Yuctan ambalo ambalo ndilo asili ya jina katani na kuisafisha kwa magendo kwa kupitia Frolida , Marekani na Humburg Ujerumani. Kati ya miche 1000, ni miche 62 tu ndiyo iliyofika Tanganyika na ilipandwa sehemu iitwayo kikokwe huko Pangani Tanga. Mkonge ulisambaa maeneo mengi ya Tanganyika mpaka kufikia mwanzoni mwa miaka 1960 Tanganyika ilikuwa inaongoza kwa uzalishaji wa mkonge ikifatiwa na Brazil na mexico kwa mauzo ya tani 230,000 kwa mwaka nje ya nchi .

Description

Keywords

Mkonge, Katani, Tanga

Citation

Collections