Faida katika miradi ya kilimo - Maharage

No Thumbnail Available

Date

2024-02-24

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo

Abstract

Kilimo Biashara ni shughuli za biashara na usimamizi zinazofanywa na makampuni na wazalishaji ambazo hujishughulisha katika utoaji wa pembejeo kwa sekta ya kilimo na ufugaji, kuzalisha mazao, uchakataji, usafirishaji, huduma za kifedha, usambazaji, au utafutaji wa masoko ya mazao.

Description

Jarida

Keywords

Maharage, Kilimo, Miradi ya Kilimo

Citation

Collections