Jarida la Mifugo na uvuvi
| dc.contributor.author | Wizara ya Mifugo na Uvuvi | |
| dc.date.accessioned | 2026-03-16T07:38:34Z | |
| dc.date.available | 2026-03-16T07:38:34Z | |
| dc.date.issued | 2026-01 | |
| dc.description | Jarida | |
| dc.description.abstract | Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa (Mb.), amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) ambapo wamejadili kuhusu miradi inayotekelezwa kuendeleza sekta ya mifugo na uvuvi. Akizungumza katika kikao hicho kilichofanyika Januari 16, 2026, ofisini kwake Mtumba, jijini Dodoma, Mhe. Balozi Dkt. Bashiru ameonesha kufurahishwa na ujio wa ujumbe huo ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wa IFAD nchini. Amesema serikali ya awamu ya sita imeendelea kuimarisha mazingira rafiki ili kuruhusu wawekezaji na sekta binafsi kushiriki katika kusukuma maendeleo ya wananchi. | |
| dc.identifier.uri | https://www.mkulima.sua.ac.tz/handle/123456789/962 | |
| dc.language.iso | other | |
| dc.publisher | Wizara ya Mifugo na Uvuvi | |
| dc.relation.ispartofseries | WMU 014 | |
| dc.subject | SAMAKI | |
| dc.subject | MALISHO | |
| dc.subject | MIFUGO | |
| dc.subject | UVUVI | |
| dc.subject | MIKOPO | |
| dc.title | Jarida la Mifugo na uvuvi | |
| dc.type | Other |
Files
Original bundle
1 - 1 of 1
Loading...
- Name:
- JARIDA LA MIFUGO NA UVUVI - TOLEO LA JANUARI 2026.pdf
- Size:
- 3.18 MB
- Format:
- Adobe Portable Document Format
- Description:
- Jarida
License bundle
1 - 1 of 1
No Thumbnail Available
- Name:
- license.txt
- Size:
- 1.71 KB
- Format:
- Item-specific license agreed upon to submission
- Description: