Kilimo bora cha soya

Loading...
Thumbnail Image

Date

2009-06-15

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Program ya PANTIL chuo kikuu cha Sokoine cha kilimo

Abstract

Soya ni zao linalopatikana katika mimea ya jamii ya mikunde ambayo inahusisha mazao mengine kama maharage, njugu mawe, mbaazi, kunde, fiwi, dengu na choroko. Zao hili linaaminika kuwa asili yake ni Asia ya mashariki. Mbegu ya mazao hutofautiana kwa ukubwa, nyingine zikiwa ndogo sana na nyingine zikiwa kubwa kiasi na vile vile rangi kuanzia nyeusi hadi rangi inayokaribia manjano.

Description

Keywords

Zao la soya, Soya bora, Mbegu za soya, Upandaji soya

Citation

Collections