Aina Tatu za Kahawa Tanzania
dc.contributor.author | Matanzania blog, Mtanzania.co.tz | |
dc.date.accessioned | 2024-10-08T07:45:50Z | |
dc.date.available | 2024-10-08T07:45:50Z | |
dc.date.issued | 2024-03 | |
dc.description | Aina Tatu Mpya za Kahawa za Tanzania | en_US |
dc.description.abstract | Kampuni ya ITO EN LTD, ambayo ni kampuni tanzu ya Tully’s Co. Ltd., inayomiliki migahawa maarufu ya Tully’s Coffee, imezindua aina tatu mpya za kahawa ya Tanzania, nchini Japan katika hafla iliyofayika jijini Tokyo tarehe 14 Machi, 2024. Aina za kinywaji hicho pendwa nchini humo kinachotokana na kahawa kutoka Tanzania ni TULLY’s COFFEE BARISTA BLACK KILIMANJARO; TULLY’S COFFEE MY HOME BLACK KILIMANJARO; na TULLY’S COFFEE BARISTA ROAST COLD BREW – KILIMANJARO BLEND. Kahawa hizo ni kutoka mkoa wa Arusha, Tarime mkoani mara na mashamba ya GDM yaliyoko Mbozi mkoani Mbeya. | en_US |
dc.description.sponsorship | Mafatanzania blog/ Mtanzania.co.tz | en_US |
dc.identifier.citation | :- https://mfatanzania.blogspot.com/2024/03/aina-tatu-mpya-za-kahawa-za- tanzania.html Inapatikana/ https://mtanzania.co.tz/mtazamo-mpya-zao-la-kahawa/ | en_US |
dc.identifier.uri | http://10.10.11.5/xmlui/handle/123/932 | |
dc.publisher | Mafatanzania blog/Mtanzania.co.tz | en_US |
dc.subject | Aina Tatu mpya za Kahawa Tanzania | en_US |
dc.title | Aina Tatu za Kahawa Tanzania | en_US |
dc.title.alternative | Kahawa | en_US |
Files
Original bundle
1 - 1 of 1
Loading...
- Name:
- AINA TATU MPYA ZA KAHAWA ZA TANZANIA YAZINDULIWA NCHINI JAPAN.pdf
- Size:
- 330.51 KB
- Format:
- Adobe Portable Document Format
- Description:
- Aina Tatu Mpya za kahawa za Tanzania
License bundle
1 - 1 of 1
No Thumbnail Available
- Name:
- license.txt
- Size:
- 1.71 KB
- Format:
- Item-specific license agreed upon to submission
- Description: