Jinsi ya kutambua mbegu zisizo na ubora na mbegu bandia (FEKI )

Loading...
Thumbnail Image

Date

2017

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

TOSCI

Abstract

Matumizi ya mbegu zisizo na ubora na mbegu bandia (feki) yamesababisha wakulima kupoteza kipato kwa kupata mazao hafifu na hata kutopata mavuno kabisa. Sheria ya Mbegu ya Mwaka 2003, inamlinda mkulima asiuziwe mbegu zisizo na ubora na mbegu bandia (feki). Pamoja na kuthibitisha ubora wa mbegu, TOSCI ina jukumu la kusimamia utekelezaji wa sheria hiyo ili kumlinda rnkulima asiuziwe mbegu zisizo na ubora na mbegu feki.

Description

Kipeperushi

Keywords

Citation

Collections