Jinsi ya kutambua mbegu zisizo na ubora na mbegu bandia (FEKI )
| dc.contributor.author | Taasisi ya Kuthibiti Ubora wa Mbegu | |
| dc.date.accessioned | 2026-03-31T08:37:26Z | |
| dc.date.available | 2026-03-31T08:37:26Z | |
| dc.date.issued | 2017 | |
| dc.description | Kipeperushi | |
| dc.description.abstract | Matumizi ya mbegu zisizo na ubora na mbegu bandia (feki) yamesababisha wakulima kupoteza kipato kwa kupata mazao hafifu na hata kutopata mavuno kabisa. Sheria ya Mbegu ya Mwaka 2003, inamlinda mkulima asiuziwe mbegu zisizo na ubora na mbegu bandia (feki). Pamoja na kuthibitisha ubora wa mbegu, TOSCI ina jukumu la kusimamia utekelezaji wa sheria hiyo ili kumlinda rnkulima asiuziwe mbegu zisizo na ubora na mbegu feki. | |
| dc.identifier.uri | https://www.mkulima.sua.ac.tz/handle/123456789/975 | |
| dc.language.iso | other | |
| dc.publisher | TOSCI | |
| dc.title | Jinsi ya kutambua mbegu zisizo na ubora na mbegu bandia (FEKI ) | |
| dc.type | Other |
Files
Original bundle
1 - 1 of 1
Loading...
- Name:
- JINSI YA KUTAMBUA MBEGU ZISIZO NA UBORA NA MBEGU BANDIA (FEKI).pdf
- Size:
- 570.01 KB
- Format:
- Adobe Portable Document Format
License bundle
1 - 1 of 1
No Thumbnail Available
- Name:
- license.txt
- Size:
- 1.71 KB
- Format:
- Item-specific license agreed upon to submission
- Description: