Jarida maalum la nane nane 2025

dc.contributor.authorWizara ya Mifugo na Uvuvi
dc.date.accessioned2026-03-16T07:40:40Z
dc.date.available2026-03-16T07:40:40Z
dc.date.issued2025
dc.descriptionJarida
dc.description.abstractMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amewataka viongozi wa sekta ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi nchini kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha chakula katika ukanda wa Afrika. Mhe. Dkt. Mpango amesema hayo wakati wa hotuba yake ya Ufunguzi wa Maonesho ya kimataifa ya Nane Nane aliyoitoa Agosti 1, 2025 kwenye Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma ambapo amesisitiza Viongozi hao kuwa kinara kwenye utekelezaji wa dira ya Taifa Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2025-2050. Aidha Dkt. Mpango amewataka wafugaji kuwekeza katika uzalishaji wa kisasa wa bidhaa zinazotokana na mifugo ili kukidhi mahitaji ya soko la ndani na nje, kuendeleza uvuvi na ufugaji wa samaki na kuvutia wawekezaji wa ndani na nje kuwekeza kwenye miundombinu baridi ya uhifadhi na usafirishaji wa mazao wa Mifugo na Uvuvi.
dc.identifier.urihttps://www.mkulima.sua.ac.tz/handle/123456789/969
dc.language.isoother
dc.publisherWizara ya Mifugo na Uvuvi
dc.subjectMifugo
dc.subjectUvuvi
dc.subjectMaonesho -nane nane
dc.subjectJarida
dc.titleJarida maalum la nane nane 2025
dc.typeOther

Files

Original bundle
Now showing 1 - 1 of 1
Loading...
Thumbnail Image
Name:
JARIDA MAALUM LA MLF LA NANE NANE 2025.pdf
Size:
3.58 MB
Format:
Adobe Portable Document Format
Description:
Jarida
License bundle
Now showing 1 - 1 of 1
No Thumbnail Available
Name:
license.txt
Size:
1.71 KB
Format:
Item-specific license agreed upon to submission
Description:

Collections