KILIMO BORA CHA ALIZETI - Sehemu ya Kwanza na Pili (Growing Sunflower - Part One& Two)

No Thumbnail Available

Date

2018-12-27

Authors

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Mjasiriamali hodari

Abstract

Alizeti (Sunflower) ni zao linalolimwa kwa wingi nchini Tanzania, Afrika mashariki, Afrika na Duniani kote kwa ujumla. Alizetini zao la biashara na hutumika kutengenezea mafuta ya kupikia (Cooking Oil). Wakulima walio wengi wamekua wakipanda mbegu za kienyeji ambazo mavuno yake huwa hafifu sana tofauti na mbegu za kisasa (Hybrid varieties). Katika makala hii nitakueleza namna ya kuzalisha zao hili kisasa ili upate mavuno mengi.

Description

Alizeti

Keywords

Alizeti

Citation

https://mjasiriamalihodari.blogspot.com/2019/02/kilimo-bora-cha-alizeti-sehemu-ya-pili.html

Collections