Upandaji wa mimea tofauti tofauti: Mwongozo wa nyanjani
Loading...
Files
Date
2005
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Coast Development Authority - Kenya
Abstract
Kenya ina maeneo mengi tofauti tofauti. Jimbo la kati ni baridi, kule mkoa wa Nyanza kuna mvua nyingi, kuna jangwa kaskazini, na hapa pwani ni joto sana. Kila eneo lina sifa maalum – hali ya hewa, hali ya joto, kiasi cha mvua, na udongo. Kwa sababu hiyo kila eneo lina faida tofauti tofauti shambani.
Ustawi wa kilimo hapa Kilifi utategemea uwezo wa wakulima. Ni bora watambue faida na nafasi ya ardhi. Kwa mfano: 1. Mimea gani hufanya vizuri hapa? 2. Wakulima wanaweza kukuza mimea gani hapa kupita maeneo mengine? 3. Mimea gani tunaweza kupanda ambayo wale wa sokoni wanataka kununua? 4. Mimea ipi inastahimili kiangazi? 5. Mimea ipi ina uhitaji wa juu katika soko?
Tutaona uwezekano mkubwa wa shamba wakati zile taratibu za kulima zinatumia kikamilifu sifa ya ardhi yake. Hili wazo ni msingi ya Upandaji wa Mimea Tofauti Tofauti (Crop Diversification).
Description
Keywords
Mazao mchanganyiko, Mimea, Kilimo