Kilimo cha viazi vitamu - Tanzania
Loading...
Date
2024
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Kituo cha Utafiti wa Miwa Kibaha
Abstract
Viazi vitamu ni zao mojawapo muhimu la
chakula na lishe bora nchini Tanzania. Viazi
vitamu vina wanga mwingi hivyo ni njia rahisi
ya kuupatia mwili nguvu. Majani ya viazi
vitamu yanatumika kama mboga na kuupatia
mwili vitamini na madini. Pia viazi vitamu
ni chanzo cha kipato. Hata hivyo, wastani wa
uzalishaji shambani ni mdogo kiasi cha 5.6t/ha
ukilinganisha na uzalishaji unaoweza kufikiwa
wa 20–40t/ha. Soko la viazi vitamu sio maalum,
kuna wauzaji wadogo na wakubwa.
Description
Kipeperushi
Keywords
VIAZI, VIAZI VITAMU