Kilimo cha viazi vitamu - Tanzania
| dc.contributor.author | Kituo cha Utafiti wa Miwa Kibaha | |
| dc.date.accessioned | 2026-03-16T07:39:58Z | |
| dc.date.available | 2026-03-16T07:39:58Z | |
| dc.date.issued | 2024 | |
| dc.description | Kipeperushi | |
| dc.description.abstract | Viazi vitamu ni zao mojawapo muhimu la chakula na lishe bora nchini Tanzania. Viazi vitamu vina wanga mwingi hivyo ni njia rahisi ya kuupatia mwili nguvu. Majani ya viazi vitamu yanatumika kama mboga na kuupatia mwili vitamini na madini. Pia viazi vitamu ni chanzo cha kipato. Hata hivyo, wastani wa uzalishaji shambani ni mdogo kiasi cha 5.6t/ha ukilinganisha na uzalishaji unaoweza kufikiwa wa 20–40t/ha. Soko la viazi vitamu sio maalum, kuna wauzaji wadogo na wakubwa. | |
| dc.identifier.uri | https://www.mkulima.sua.ac.tz/handle/123456789/966 | |
| dc.language.iso | other | |
| dc.publisher | Kituo cha Utafiti wa Miwa Kibaha | |
| dc.subject | VIAZI | |
| dc.subject | VIAZI VITAMU | |
| dc.title | Kilimo cha viazi vitamu - Tanzania | |
| dc.type | Other |