Kilimo cha viazi vitamu - Tanzania

dc.contributor.authorKituo cha Utafiti wa Miwa Kibaha
dc.date.accessioned2026-03-16T07:39:58Z
dc.date.available2026-03-16T07:39:58Z
dc.date.issued2024
dc.descriptionKipeperushi
dc.description.abstractViazi vitamu ni zao mojawapo muhimu la chakula na lishe bora nchini Tanzania. Viazi vitamu vina wanga mwingi hivyo ni njia rahisi ya kuupatia mwili nguvu. Majani ya viazi vitamu yanatumika kama mboga na kuupatia mwili vitamini na madini. Pia viazi vitamu ni chanzo cha kipato. Hata hivyo, wastani wa uzalishaji shambani ni mdogo kiasi cha 5.6t/ha ukilinganisha na uzalishaji unaoweza kufikiwa wa 20–40t/ha. Soko la viazi vitamu sio maalum, kuna wauzaji wadogo na wakubwa.
dc.identifier.urihttps://www.mkulima.sua.ac.tz/handle/123456789/966
dc.language.isoother
dc.publisherKituo cha Utafiti wa Miwa Kibaha
dc.subjectVIAZI
dc.subjectVIAZI VITAMU
dc.titleKilimo cha viazi vitamu - Tanzania
dc.typeOther

Files

Original bundle
Now showing 1 - 1 of 1
Loading...
Thumbnail Image
Name:
KILIMO CHA VIAZI VITAMU - TANZANIA TARI.pdf
Size:
447.93 KB
Format:
Adobe Portable Document Format
License bundle
Now showing 1 - 1 of 1
No Thumbnail Available
Name:
license.txt
Size:
1.71 KB
Format:
Item-specific license agreed upon to submission
Description:

Collections