Kuanzia ngozi, nyama, maziwa na hata manyoya, ngamia ni lulu katika jamii
No Thumbnail Available
Date
2018-02
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Shirika la chakula duniani
Abstract
Ngamia ni mnyama muhimu katika maeneo ya ukame au baridi kali anakotumika kwa shughuli mbalimbali ikiwemo usafiri, chakula kupitia maziwa na nyama yake, kuwawezesha wanawake kiuchumi na pia kulinda mazingira.
Shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO limeutenga mwaka huu wa 2024 kuwa wa wanyama wa jamii ya ngamia ambao ni waokozi wa jamii za maeneo ya mbali katika zaidi ya mataifa 90.
Description
Jarida
Keywords
Ngamia, Ngozi, Manyoya, Maziwa, Jamii