Kuanzia ngozi, nyama, maziwa na hata manyoya, ngamia ni lulu katika jamii

No Thumbnail Available

Date

2018-02

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Shirika la chakula duniani

Abstract

Ngamia ni mnyama muhimu katika maeneo ya ukame au baridi kali anakotumika kwa shughuli mbalimbali ikiwemo usafiri, chakula kupitia maziwa na nyama yake, kuwawezesha wanawake kiuchumi na pia kulinda mazingira. Shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO limeutenga mwaka huu wa 2024 kuwa wa wanyama wa jamii ya ngamia ambao ni waokozi wa jamii za maeneo ya mbali katika zaidi ya mataifa 90.

Description

Jarida

Keywords

Ngamia, Ngozi, Manyoya, Maziwa, Jamii

Citation

Collections