Ujue ugonjwa wa mnyauko wa mikorosho.
| dc.contributor.author | Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) | |
| dc.date.accessioned | 2026-08-19T09:34:15Z | |
| dc.date.available | 2026-08-19T09:34:15Z | |
| dc.date.issued | 2025 | |
| dc.description | Kipeperushi | |
| dc.description.abstract | Utangulizi Ugonjwa huu ulifahamika rasmi kwa mara ya kwanza mwaka 2012 katika Kijiji cha Magawa, Wilaya ya Mkuranga katikaMkoa wa Pwani. Mwaka 2014 ugonjwa ulionekana katika Kata za Nanganga na Nangoo Wilayani Masasi na Mnongodikatika Wilaya ya Mtwara Vijijini. llipofika mwaka 2015 Ugonjwa ulionekana kushambulia mikorosho katika Kijiji chaTandika, Kata ya Dinduma Wilayani Tandahimba. Ugonjwa huu pia umetolewa taarifa kuwa upo katika baadhi ya sehemu za Mkoa wa Ruvuma. | |
| dc.identifier.uri | https://www.mkulima.sua.ac.tz/handle/123456789/979 | |
| dc.language.iso | other | |
| dc.publisher | Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) | |
| dc.subject | Mikorosho | |
| dc.subject | Ugonjwa wa mikorosho | |
| dc.title | Ujue ugonjwa wa mnyauko wa mikorosho. | |
| dc.type | Other |