Aina za mbegu bora za muhogo zilizogunduliwa na kuthibishwa kutumika Tanzania

Loading...
Thumbnail Image

Date

2025

Authors

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

TARI

Abstract

Mbegu hizi zinapatikana kwenye vituo vya utafiti wa kilimo (TARI) - na kwa wazalishaji mbegu katika madaraja yote: Awali, Msingi, Kuthibitishwa Ubora na mbegu. Mbegu hizi zina sifa zifuatazo; ; "Mavuno yenye tija, Wanga, Ungaunga, Ustahimilivu wa mazingira, Ustahimilivu wa wadudu (Tanabui, Vidung’ata, Nzi weupe) na Ukinzani wa magonjwa (Batobato, Michirizi ya Kahawia na Baka Jani).

Description

Vipeperushi

Keywords

Mihogo, Mbegu

Citation

Collections