Jinsi ya kuhifadhi mboga za kiasili za kutumia wakati wa kiangazi

Loading...
Thumbnail Image

Date

2008

Authors

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Kenya Agricultural Research Institute - KARI

Abstract

Mboga za kiasili ni muhimu kwa chakula na zina virutubishi zaidi ya zile za kigeni kama vile sukuma wiki na kabeji. Mifano yake ni kama vile sageti, mnavu, mchicha na mkunde. Mimea hii huwa na madini na vitamini A zinazohitajika kwa afya ya binadamu.

Description

Keywords

Mboga mboga, Mboga za asili, Uhifadhi, Bustani, Kilimo

Citation

Collections