Maziwa ya mama

Loading...
Thumbnail Image

Date

1992-10-17

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Shirika la Chakula na Lishe Tanzania

Abstract

Kijitabu hiki cha maswali na majibu ni kimojatu kati ya vijitabu kumi vinavyotolewa aa Shirika la Chakula na Lishe Tanzania kutokana na barua za wasikilizaji wa vipindi vya redio vya "Chakula na Lishe". Vijitabu hivi ni: 1. Ujauzito 2. Maziwa ya Mama 3. Ulikizaji 4. Ukuaji wa mtoto 5. Kuharisha 6. Surua 7. Anemia 8. Upungufu wa Vitamini A· 9. Upungufu wa Madini ya joto 10. Muhogo Kila kijitabu kina maswali 10 tu na kijitabu kitakachofuaria katika fani moja kitaendeleza idadi ya maswali. Vijitabu hivi vinafaa sana kusomwa na wanafunziwa shule za msingi na sekondari na watu wote vijijini na mijini wanaopenda kuelewa zaidikuhusu Lishe bora. Mara kwa mara Shirika la Chakula na Lishe litatoa zoezi katika redio au gazeti la kiswahili kwa ajili ya watu wa vikundi mbali mbali na atakayepata alama nyingi atazawadiwa.

Description

Keywords

Mama mjamzito, Watoto wachanga, Mtoto anayenyonya, Faida ya kunyonyesha

Citation

Collections