Ufugaji wa kambale kitaalamu I
Loading...
Date
2018-05
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Kilimo Tanzania Blog
Abstract
FAIDA ZA KUFUGA KAMBARE
• Kambare ni aina ya samaki wanaoweza kukua hadi kufi kia kilo 10 na hivyo humuwezesha
mfugaji kujipatia kipato na nyama zaidi kuliko perege na aina nyingine za samaki.
• Nyama ya kambare imethibitishwa kuwa na kirutubisho kijulikanacho kama Omega-3, ambacho
humpunguzia mlaji uwezekano wa kupata athari za magonjwa mbalimbali kama vile saratani,
shinikizo la damu, na magonjwa ya akili.
− Kambare wanapofugwa pamoja na perege (kambare mmoja kwa kila perege wanne mpaka
watano), hudhibiti mazaliano ya perege, hivyo kuwawezesha kukua hadi kufikia uzito mkubwa
(mpaka kilo 5).
Description
Keywords
Kambale, Samaki