Jarida la Mifugo na Uvuvi

dc.contributor.authorWizara ya Mifugo na Uvuvi
dc.date.accessioned2026-03-31T08:37:02Z
dc.date.available2026-03-31T08:37:02Z
dc.date.issued2025-02
dc.descriptionJarida
dc.description.abstractUVUVI NI UTAJIRI! ndivyo ambavyo unaweza kusema kupitia Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo inahakikisha inaleta mapinduzi makubwa katika Sekta ya Uvuvi kwa kuweka jicho la kipekee kwenye Uchumi wa Buluu. Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi inatekeleza mradi wa ukopeshaji wa boti za kisasa kwa wavuvi wa Ukanda wa Pwani, Ziwa Victoria, Tanganyika na Nyasa, ambapo mradi huo unalenga kuwezesha wananchi kufanya uvuvi na ukuzaji viumbe maji endelevu na wenye tija na kuwajengea mazingira wezeshi ili waweze kuongeza uzalishaji wa mazao ya uvuvi.
dc.identifier.urihttps://www.mkulima.sua.ac.tz/handle/123456789/974
dc.language.isoother
dc.publisherWizara ya Mifugo na Uvuvi
dc.relation.ispartofseriesToleo Na.002
dc.subjectMIFUGO
dc.subjectUVUVI
dc.subjectBOTI
dc.subjectCHANJO
dc.subjectSAMAKI
dc.titleJarida la Mifugo na Uvuvi
dc.typeOther

Files

Original bundle
Now showing 1 - 1 of 1
Loading...
Thumbnail Image
Name:
Jarida la mifugo na uvuvi Februari-2.pdf
Size:
2.88 MB
Format:
Adobe Portable Document Format
License bundle
Now showing 1 - 1 of 1
No Thumbnail Available
Name:
license.txt
Size:
1.71 KB
Format:
Item-specific license agreed upon to submission
Description:

Collections