Zuia magonjwa sugu yasiyo ya kuambukiza kwa kuzingatia.

Loading...
Thumbnail Image

Date

2011-08

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Taasisi ya chakula na lishe.

Abstract

Ulaji usiozingatia kiasi na mchanganyiko wa makundi yote ya chakula kama nafaka, mizizi na ndizi,vyakula vyenye asili ya wanyama na jamii ya kunde,mbogamboga na mtunda huchangia kwa kiasi kikubwa viashiria hatari vya magonjwa sugu kama vile ongezeko la lehemu na sukari kwenye damu.Hatima ya hali ni kupatwa na magonjwa sugu yasiyo ya kuambukiza kama vile kisukari,shindikizo kubwa la damu,ugonjwa wa moyo,baadhi ya saratan na mengineyo.

Description

Keywords

Magonjwa sugu, Kuambukiza, Ulaji, Maisha

Citation

www.tfnc.or.tz

Collections