Usindikaji wa muhogo: Utengenezaji wa rale - ongeza thamani na ubora wa bidhaa ya muhogo

Loading...
Thumbnail Image

Date

2004

Authors

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Idara ya Sayansi ya Chakula na Teknolojia, Chuo Kikuu cha Sokoine cha kilimo - SUA

Abstract

Muhogo ni moja ya mazao ya mizizi hapa Tanzania na nchi nyinqi za Africa. Muhogo una wanga mwingi. Zao hili hustahimili ukame na hivyo husaidia sana katika harakati za kupambana na njaa hasawakati wa ukame. Pamoja na umhimu wake, muhogo huharibika upesi sana. Mara baada ya kuvunwa muhogo huweza kuharibika ndani ya siku tatu au nne na kutofaa kwa matumizi ya binadamu. Pia usafirishaji wa muhogo kutoka sehemu moja hadi nyingine ni mgumu na wa gharama kubwa. Hii inatokana na mihogo kuwa na kiasi kikubwa cha maji. Mambo haya husababisha hasara kubwa kwa mkulima.

Description

Keywords

Muhogo, Rale, Usindikaji

Citation