Utayarishaji wa mboga za majani
Loading...
Date
2015
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)
Abstract
Utangulizi
Mboga za majani zinashika nafasi muhimu
sana katika vyakula vyetu. Zinaliwa kila siku
na mara nyingi zaidi ya mara moja kwa
siku. Zipo aina nyingi za mboga za majani,
nyingine zinalimwa na nyingine zinaota
zenyewe porini na mashambani wakati wa
msimu wa mvua. Mboga zina virutubishi
kama madini na vitamini ambavyo
vinahitajika mwilini kwa afya bora. Hata
hivyo pamoja na kwamba zina virutubishi
vya kutosha na zinaliwa kila siku, watu
wengi wanapata matatizo ya afya
yanayotokana na ukosefu wa
virutubishi
vinavyopatikana katika mboga za majani
kwa mfano upofu na upungufu wa damu.
Hali hii inajitokeza kwa sababu gani?
Description
Kipeperushi
Keywords
mboga za majani, Faida za kupika chakula