Utayarishaji wa mboga za majani

dc.contributor.authorKinabo J. L
dc.contributor.authorMsuya J.M
dc.contributor.authorMnkeni A.P
dc.contributor.authorNyaruhucha .C
dc.contributor.authorIshengoma .J
dc.date.accessioned2025-12-19T07:17:02Z
dc.date.available2025-12-19T07:17:02Z
dc.date.issued2015
dc.descriptionKipeperushi
dc.description.abstractUtangulizi Mboga za majani zinashika nafasi muhimu sana katika vyakula vyetu. Zinaliwa kila siku na mara nyingi zaidi ya mara moja kwa siku. Zipo aina nyingi za mboga za majani, nyingine zinalimwa na nyingine zinaota zenyewe porini na mashambani wakati wa msimu wa mvua. Mboga zina virutubishi kama madini na vitamini ambavyo vinahitajika mwilini kwa afya bora. Hata hivyo pamoja na kwamba zina virutubishi vya kutosha na zinaliwa kila siku, watu wengi wanapata matatizo ya afya yanayotokana na ukosefu wa virutubishi vinavyopatikana katika mboga za majani kwa mfano upofu na upungufu wa damu. Hali hii inajitokeza kwa sababu gani?
dc.identifier.urihttps://www.mkulima.sua.ac.tz/handle/123456789/956
dc.language.isoother
dc.publisherChuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)
dc.subjectmboga za majani
dc.subjectFaida za kupika chakula
dc.titleUtayarishaji wa mboga za majani
dc.typeOther

Files

Original bundle
Now showing 1 - 1 of 1
Loading...
Thumbnail Image
Name:
UTAYARISHAJI WA MBOGA ZA MAJANI.pdf
Size:
300.63 KB
Format:
Adobe Portable Document Format
License bundle
Now showing 1 - 1 of 1
No Thumbnail Available
Name:
license.txt
Size:
1.71 KB
Format:
Item-specific license agreed upon to submission
Description:

Collections