Matunzo ya shamba na uvunaji wa zabibu
Loading...
Date
2024
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
TARI
Abstract
MATUNZO YA SHAMBA NA UVUNAJI
Ili kupata mavuno yenye tija ni muhimu
kutunza vizuri shamba la mizabibu. Matunzo ya
shamba ni pamoja na kupalilia, kutifulia,
kudhibiti visumbufu na kukatia mizabibu.
Palilia shamba mara kwa mara ili
kudhibiti magugu, kwa wastani palizi tatu zinatosha katika msimu mmoja .
Ni muhumu kutifulia udongo kwenye shamba la mizabibu kila wakati ili
kuvuna maji ya mvua.
Description
Kipeperushi
Keywords
Zabibu, Mtunzo ya zabibu, Uvunaji wa zabibu