KILIMO CHA MTAMA
No Thumbnail Available
Date
20-03-13
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Abstract
Mtama ni kundi la mbegu punje ndogo katika jamii ya nafaka ambayo ina kiasi kikubwa cha kabohaidreti.Ni zao lenye uwezo mkubwa wa kuvumilia hali ya ukame kuliko mazao mengi ya jamii yake,Hivyo hulimwa maeneo mengi Duniani yenye mvua Pungufu na hata yenye mvua za kutosha.Ni moja ya zao ambalo likitumika vizuri husaidia kwa kiasi kikubwa kukabliana na mabadiliko ya hali ya nchi na pia katika vita ya kuzuia njaa.Mtama hutumika Kama vile unga wa ugali,kupikia mikate ya mtama,kupika ubwabwa wa mtama,Unaweza kuchemshwa na Kuliwa (mnyoma-lugha ya kiasili),Viwanda vya bia kutengeneza bia,Pia majani na mabua yake yanaweza kutumika kama chakula cha mifugo,na pia mabua Makavu yanaweza kutumika katika kujengaea uwa .
Description
KILIMO
Keywords
MTAMA
Citation
https://ar-ar.facebook.com/kilimoblog/posts/zifahamu-aina-nne-za-mtamamtama-ni-kundi-la-mbegu-punje-ndogo-katika-jamii-ya-na/1870491229638445/