Repository logo
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Қазақ
  • বাংলা
  • हिंदी
  • Ελληνικά
  • Српски
  • Yкраї́нська
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
  • Communities & Collections
  • All of DSpace
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Қазақ
  • বাংলা
  • हिंदी
  • Ελληνικά
  • Српски
  • Yкраї́нська
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele"

Now showing 1 - 9 of 9
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Kilimo Bora cha Mihogo
    (Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele, 2022-06-25) Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele
    1.0 Utangulizi. Muhogo ni miongoni mwa mazao makuu ya chakula richini Tanzania. Inakadiriwa kuwa tani milioni lino (5) za muhogo mbichi zinazalishwa hapa nchini kwa mwaka. Kanda zinazoongoza kwa uzalishaji ni Kanda ya ziwa (37%), Kanda ya kusini (28%) na Kanda ya mashariki (12%). Karibu 75% ya muhogo unaozalishwa hutumika kwa chakula. Muhogo huvumilia ukame na pia hufanya vizuri hata katika ardhi yenye rutuba hafifu «kilinganisha na mazao mengine.
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Kilimo bora cha ufuta
    (Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele, 2022-06-25) Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele
    Ufuta ni zao la biashara ambalo hutumika kama chakula cha binadamu.Mbegu zake hutumika kutengeneza vyakula mbalimbali kama kashata, mikate, tui,bwimbwi, mashudu yake hutumika kulisha mifugo.Tanzania ni nchi ya kwanza duniani kwa uzalishaji wa ufuta ikifuatiwa na Myanmar na India (chanzo:FAO 2018. Ufuta hustawi zaidi mikoa ya Lindi, Mtwara,Dodoma,Manyara na Mbeya
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Kilimo bora cha Ufuta
    (Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele, 2021-06-25) Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Kilimo Bora cha Viazi vitamu
    (Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele, 2022-06-25) Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele
    Viazi vitamu ni miongoni mwa mazao muhimu ya chakula nchini Tanzania. Zao hili hustawi karibu mikoa yote hapa nchini Tanzania. Kwa uzalishaji, viazi vitamu vinashika nafasi ya nne baada ya Mahindi, Muhogo na Maharage. Viazi vitamu pia vinashika nafasi ya tatu kwa umuhimu baada ya Muhogo na viazi mviringo kwa mazao ya chakula aina ya mizizi na jamii ya viaz
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Kupanda Mikorosho mipya
    (Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele, 2022-06-25) Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele
    Kipeperushi kinazungumzia upandaji wa mikorosho mipya ambappo ni kitendo cha kuanzisha shamba jipya kwa kufuata kanuni za kilimo bora cha mikorosho.Mashamba ya wakulima wengi yana mavuno hafifu, uzaaji mdogo hali iliyotokana na upandaji holela na duni na utumiaji wa mbegu hafifu.
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Matunzo ya Mikorosho shambani
    (Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele, 2022-06-25) Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Uanzishwaji wa kitalu cha miche ya mikorosho.
    (Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele, 2022-06-25) Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Uanzishwaji wa kitalu cha miche ya mikorosho.
    (Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele, 2022-06-25) Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele
    Viriba vinaweza kutengenezwa kwa kutumia mifuko ya plastiki au karatasi ya plastiki kiuchumi viriba vidogo( i.e 7.5 sm kipenyo sm 20 kimo) Vinamanufaa zaidi kwasababu huhitaji udongo kidogo na huchukua eneo dogo la kitalu ukiringanisha na hivi vikubwa.
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Upogoleaji mikorosho michanga iliyobebeshwa
    (Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele, 2022-06-25) Taasisi ya utafiti wa kilimo Naliendele

DSpace software copyright © 2002-2025 LYRASIS

  • Cookie settings
  • Privacy policy
  • End User Agreement
  • Send Feedback